Monday, 11 August 2014

Ryakitimbo memorial fund

 www.ryakitimbomemorialfund.co.tz

Ryakitimbo memorial Fund (RMF) is a memorial fund started to commemorate the Life of John Magige Manyerere Ryakitimbo who died on 23rd September, 1994 in order to promote a good Life for all people.

 
The late John Magige Manyerere Ryakitimbo

THE LATE J.M.M RYAKITIMBO WITH THE FIRST PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA,THE LATE MWL NYERERE,FORMER PRIME MINISTER HON.JUDGE JOSEPH WARIOBA IN THE INAUGURATION OF MAKONGORO SECONDARY SCHOOL CO-FOUNDED BY J.M.M RYAKITIMBO
THE LATE J.M.M RYAKITIMBO IN CAIRO,EGYPT
  
THE LATE J.M.M RYAKITIMBO WITH FELLOW REGIONAL POLICE COMMANDERS

The Late John Magige Manyerere Ryakitimbo Cemetry Views

THE LATE J.M.M RYAKITIMBO WITH THE LATE CHIEF WANZAGI OF ZANAKI AND BUNDA DISTRICT COMMISSIONER

ELDERS FROM VARIOUS AREAS GATHERED IN THE INAUGURATION OF IKIZU DEVELOPMENT ASSOCIATION (IDA),CO-FOUNDED BY THE LATE J.M.M RYAKITIMBO

Malengo ya Ryakitimbo Memorial Fund-www.ryakitimbomemorialfund.co.tz

Ryakitimbo memorial fund ni taasisi binafsi yenye mipango ya kujenga tabia miongoni mwa watanzania kuchanga kwa ajili ya kuwezesha wake wenye matatizo yasiyozuilika kwa wao pekee yao bila msaada wa wanadamu wenzao.
Neno wafadhili limezoeleka katika jamii zetu za kiafrika, na hii inamaanisha kuwa wazungu au watu kutoka nje ya nchi ndo wanaweza kuchangia misaada ya kuwasaidia ndugu zetu wenye kuishi mazingira hatarishi na magumu. Mfano kuna vijana hawana kazi, kuna yatima hawana msaada wa mahitaji ya msingi, kuna watu wenye ulemavu wa viungo, wajane wasio na mitaji na mbinu za kuzalisha mali, na wengineo wengi wenye kukwama na kukosa uwezeshwaji.

Ryakitimbo memorial fund ina malengo ya kuwashawishi watanzania na waafrika kwa ujumla kuanza tabia ya kuchangia kupitia kununua bidhaa na harambee za aina hiyo, ifike hatua hata sisi tujiite wafadhili wa ndani ya nchi kwa maana tusaidie makundi yenye kuhitaji msaada wetu wa Hali na mali.

www.ryakitimbomemorialfund.co.tz

Ryakitimbo memorial fund ni taasisi binafsi yenye mipango ya kujenga tabia miongoni mwa watanzania kuchanga kwa ajili ya kuwezesha wake wenye matatizo yasiyozuilika kwa wao pekee yao bila msaada wa wanadamu wenzao.

Neno wafadhili limezoeleka katika jamii zetu za kiafrika, na hii inamaanisha kuwa wazungu au watu kutoka nje ya nchi ndo wanaweza kuchangia misaada ya kuwasaidia ndugu zetu wenye kuishi mazingira hatarishi na magumu. Mfano kuna vijana hawana kazi, kuna yatima hawana msaada wa mahitaji ya msingi, kuna watu wenye ulemavu wa viungo, wajane wasio na mitaji na mbinu za kuzalisha mali, na wengineo wengi wenye kukwama na kukosa uwezeshwaji.

Ryakitimbo memorial fund ina malengo ya kuwashawishi watanzania na waafrika kwa ujumla kuanza tabia ya kuchangia kupitia kununua bidhaa na harambee za aina hiyo, ifike hatua hata sisi tujiite wafadhili wa ndani ya nchi kwa maana tusaidie makundi yenye kuhitaji msaada wetu wa Hali na mali.